Psalms 126:1-3
Kurejezwa Kutoka Utumwani
(Wimbo Wa Kwenda Juu)
1 a Bwana alipowarejeza mateka Sayuni,
tulikuwa kama watu walioota ndoto.
2 bVinywa vyetu vilijaa kicheko,
ndimi zetu zilijaa nyimbo za shangwe.
Ndipo iliposemwa miongoni mwa mataifa,
“Bwana amewatendea mambo makuu.”
3 c Bwana ametutendea mambo makuu,
nasi tumejaa furaha.
Copyright information for
SwhKC